INANIUMA SANA TENA SANA.


Lulu  muombe  mungu  akusaidie  utoke  kwenye  tatizo  hilo  kubwa
 Kwa namna  moja   hadi  nyingine  nikwamba  huyu  msichana  Elizabert.  Analia  kwa  sababu  tu  ya  uonevu. na  ukichunguza  zaidi  anacholilia  si  kingine  ni  vile  anavyofikiria  maisha  yake.  endapo  mahakama  haitamtendea  haki.  kiukweli  mimi  siwezi  kusema  mengi.  ila  naomba  kuuliza  serikali  ya  jamuhuri  ya  muungano  wa  tanzania  swala  la  lulu  wanavyolichukulia  kama   dhabu  yaani  kumkandamiza   kijana  huyu  wa  kike.    je  mbona  hawa  wanaukula  mabilioni  hawafungwi  na  wala  hawafatiliwi ila  wananchi  ndio  wanabebeshwa  mizigo  mikubwa  ikiwemo  kupanda  kwa  maisha? Babo  kule  jela  kunamsanii  wetu babu sea  wamemfungia  kifungo  cha  maisha.  je  hawa mafisadi  na  babu  sea  ninani  mwenye  kuhukumiwa  kifungo  cha  maisha?  mpenzi  msomamaji  jiweke  tayari  kusoma    habari  hii  kwa  umakini  hivi  karibuni.  kiukweli  huyu  sangara  ni  wakumua  tu.  la  sivyo  atatumaliza.  pole  sana  Elizabert Lulu  mungu  atakusimamia  na  utatoka  kwa  nguvu  zake.

Post a Comment

0 Comments