steven kanumba enzi za uhai wake. hakika maneno na kauli zake ni kama alitabiri
Post a Comment
2
Comments
Anonymous said…
mungu ailzaze roho yake mahali pema pema peponi amen.
Anonymous said…
Kwakweli kijana huyu ameniumiza sana, sikuwa na mazoea nae lakini kimwili na kiroho, nilipenda sana kazi zake, alivyoinua taifa letu katika sanaa, alivyokuwa na upendo bila ubinafsi, nadhani hata aliyemchukia kwa jasho lake mwenyewe ajue kuwa, mwenyezi mungu aliye hai yupo na bado yupo hai, siku moja watakutana. Walimnyima raha mtoto wa watu wakamsononesha moyoni, na kumtakia mabaya, wajue hata wao kabla safari yao ya mwisho haijafika, watasononeka tu, malipo ni duniani hapa hapa na si mbinguni. Kila siku namuombea na kuomba mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi. Ameni, tutakutana nae siku moy
2 Comments