VIONGOZI WA TANZANIA NI TAMBARA MBOVU.

Msione  nawatukana  nikwasababu  mnawatesa  sana  watanzania. yaani  nimeshangaa  sana  kuhusu  kusherekea  miaka  48 ya  muungano. kwanza  mnaposema muungano  kwa  asilimia  mia moja  hamjui  maana  yake. kwa  mimi  mr.mwangajamii  nafahamu  kuwa  muungano ni kitu  kimoja  hadi  kingine  kuwa  pamoja.  sasa  nyie  kwa  unafiki  wenu  mnatuambia  miaka  48 ya  muungano. ila  mkiniambia  ni  muungano  wa  mafisadi  nitawakubalia.  hivi  leo  hii  mtanzania  kula  yake  mchana  ni  matatizo.  kuishi  kwake  matatizo.  pale  bandarini  mliko  weka  haka  ka  mtando  kenu  ka TRA kakuwachimbia watanzania  kaburi  na kuwafukia. kapo.  sehemu  nyingine  ni  swala  lingine ni   huduma  za  luku  wewe  mtanzania  unanunua  luku.  na  lazima  utakutana  hao  machimba  kaburi.  ikiwemo Vat n.k Halafu  leo  hii    muungano  Muumgano  ni  wenu  mafisadi.  tena  kwa  taarifa  yenu. mwangajamii  itabaki  kuwaambia  ukweli.  ni  bora  mniue  kuliko  mimi  kuona  mtanzania  anakufa  akijiona.    Message  sent  kwa  mafisadi  woote  wanaojifaha.  kama  kimekukera  zaidi  wasiliana  nami.0713 883872

Post a Comment

0 Comments