HUU NI MLIPUKO WA MOTO. UWANJA WA NDEGE WA KINYATA.. NI HAPO JANA.

motondege
Uwanja huo hivi sasa umefungwa na hakuna ndege kutua ama kuruka isipokuwa kwa dharura tu.
Moto huo unasemekana ulianza majira ya saa 11 za alfajiri sehemu za idara ya uhamiaji na kusambaa katika eneo la abiria wa kimataifa.

Post a Comment

0 Comments