JE UNATAFUTA NYUMBA YA KUPANGISHA? KAMA NDIO USISUMBUKE TENA...


nyumba inapangishwa upande wa mbele mzima, pia ni sel-conteined, ina vyumba viwili, store, umeme, maji, geti kwaajili ya usalama wa mali zako na nyumba iko msasani karibu na beach na shule ya msingi ya msasani A na B. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba: 0716-808016
            BEI YA  KUPANGISHA
  
Tsh.300,000/= KWA MWEZI  MMOJA


      WOTE  MNAKARIBISHWA

Post a Comment

1 Comments

Anonymous said…
du huswahilini tena..