JE UNATAFUTA NYUMBA YA KUPANGISHA? KAMA NDIO USISUMBUKE TENA...
nyumba inapangishwa upande wa mbele mzima, pia ni sel-conteined, ina vyumba viwili, store, umeme, maji, geti kwaajili ya usalama wa mali zako na nyumba iko msasani karibu na beach na shule ya msingi ya msasani A na B. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba: 0716-808016
BEI YA KUPANGISHA
Tsh.300,000/= KWA MWEZI MMOJA
WOTE MNAKARIBISHWA
1 Comments:
du huswahilini tena..
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home