MSAADA UNAITAJIKA KWA STELLAH .L. MAPUNDA

 KWA JINA  ANAITWA  STELLAH .L. MAPUNDA

ni mtoto yatima hana mama wala baba anahitaji kusoma. kikubwa na msaada wa kuweza kumpeleka shule. garama ya ADA KWA MWAKA NI TSH 550,000/= Nitashukuru endapo atafanikiwa kwenda shule.
pia nitashukuru kwa msaada wako.
by

ANNALICE


Mwangajamii  iliweza  kupenya  na  kukutana  na  mdau  ambaye  aliweza  kuongea live. na  kutokana  na  mwangajamii  kutaaka  kujua  ukweli  ilibidi  mtoto  huyo  kutafutwa na  hatimaye  kuhojiwa na  mwangajamii kwa  maneno  machache na  hatimaye  vilevile  mwangajamii  imeamua  kuleta   maombia  ya  kumsaidia  mtoto  huyo.  Na Vilevile  Mdau  huyo wa  mwangajamii Ambaye  Jina  lake  ni ANNALICE.  aliweza  kuiambia  mwangajamii  mtoto  huyo  anandoto  njema  ya  kutaka  kusoma. lakini  kwa kuwa  wewe  mtanzania  ukiwa  kama  Baba, Mama, Dada au  Kaka   Mtoto  STELLAH .L. MAPUNDA  anaomba  umsaidie  na  anategemea  msaada  toka  kwako. JAMANI  NDUGU  ZANGU  WATANZANIA  MNAWEZA KUWASILIANA  MTU  WAKE  WA KARIBU  ZAIDI  AMBAYE  NI 
(ANNALICE.) KWA   simu   namba  (+255)0718 005594  Wateja wa tigo
                                                           (+255)0762 801030  Wateja wa vodacom
                                                           (+255)0783 586290  Wateja  wa Airtel
by

ANNALICE



Post a Comment

0 Comments