UMASIKINI TUMEUTAKA WENYEWE.



Kwa namna  moja  hadi  nyingi  sisi  watanzania  ndio  tunasababisha  umasikini  kuendelea  kuwepo.  ninasema  hivyo  nikiwa  na maana  kuwa   katika  afrika  nchi  inayohesabika  kuwa  tajiri  ni  tanzania  na  ukisikia  mtu  anakuambia  tanzania  ni tajiri  ujue  akili  anayo  tena...  kwanini  nasema  hivyo.  sisi watanzania  wenyewe  ndio  chanzo  kwa  7babu  ya kutokujua  tuowachagua  na  tukiwachagua  wakitenda  maovu  tunawaacha.  kisha  awamu  nyingine  wakimaliza  madaraka  tunawaongeza.    ni  bora  mbuzi  kuliko  mtanzania  asiyefikiri  nini  kifanyike  ili  kuondokana  na  hawa  watu  wanatusababishi  umasikini...  message sent  kwa  wote  wanaohusika na  vijitabia  hivyo.

Post a Comment

0 Comments