Chama cha mapinduzi kinatarajia kufanya mkutano mkubwa wa kujadili katiba mpya, maisha magumu, pamoja na vurugu zilizotokea zanzabar na kusababisha mabilioni yashilingi kuteketea kwa kuungua na moto baada ya kundi linaloitwa muamsho kuchoma makanisa na mabaa. usikose kuudhuria mkutano huo.
0 Comments