CCM KUNGURUMA JANGWANI SIKU YA JUMAMOSI.

Chama  cha  mapinduzi  kinatarajia  kufanya  mkutano  mkubwa  wa  kujadili  katiba mpya, maisha  magumu,  pamoja  na  vurugu  zilizotokea  zanzabar na  kusababisha  mabilioni  yashilingi  kuteketea  kwa  kuungua na moto baada  ya  kundi linaloitwa muamsho  kuchoma  makanisa  na  mabaa. usikose  kuudhuria mkutano  huo.

Post a Comment

0 Comments