TAMADUNI ZA KIMASAI
Masai ni moja ya kitambulisho cha taifa na inajulikana kuwa masai kazi yake kubwa ni ufugaji, ila cha ajabu leo utamkuta masai nae analinda nyumba ya mtu na wakati kazi hiyo siyo asili yao. yote haya yanachangiwa na hali ngumu ya kimaisha na ukame pamoja na matendo mahovu ila hivi karibu nitaeleza maana ya matendo maaovu na hali ngumu ya kimaisha inayowakumba haya ndugu masai. Mwangajamii itafuatilia kwa u,akini zaidi, kuhusu hii jamii ya Kimasai.

1 Comments:
inachangiwa na ugumu wa maisha na serikali kuharibu mazingira ya asili ya tanzania na afrika
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home