BREAK NEWSS!!!!! HIZI NI BAADHI YA VURUGU ZILIZOTOKEA LEO MAENEO YA MSIMBAZI KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM

Gari  la jeshi  la  wananchi  likiwa  linajiandaa  kutuliza  ghasia  maeneo  ya  kariakoo  jijini  Dar es salaam

Ni baadhi  ya  wananchi  wakiwa  kwenye  harakati  za  kutawanyika  baada  ya  jeshi  la polisi kutangaza kuwa  watu  watawanyike.

Polisi  wakiimarisha  ulizi eneo  la  kariakoo.

Kijana  huyu  alinaswa  na  jeshi  la  polisi  wakati  akiwa  kwenye  harakati  za  kukimbia.


Mama  huyu  alipoteza  fahamu  baada  ya  milio  ya  mabomu  kurindima maeneo  ya  kariakoo.

Jeshi  la  polisi  likiwa  kazini.

Ni baadhi  ya  watuhumiwa  wakirukishwa  kichura  kuelekea kituo  cha  msimabazi.

Post a Comment

0 Comments