BREAK NEWSS!!!!! HIZI NI BAADHI YA VURUGU ZILIZOTOKEA LEO MAENEO YA MSIMBAZI KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM
| Gari la jeshi la wananchi likiwa linajiandaa kutuliza ghasia maeneo ya kariakoo jijini Dar es salaam | 
| Ni baadhi ya wananchi wakiwa kwenye harakati za kutawanyika baada ya jeshi la polisi kutangaza kuwa watu watawanyike. | 
| Polisi wakiimarisha ulizi eneo la kariakoo. | 
| Kijana huyu alinaswa na jeshi la polisi wakati akiwa kwenye harakati za kukimbia. | 
| Mama huyu alipoteza fahamu baada ya milio ya mabomu kurindima maeneo ya kariakoo. | 
| Jeshi la polisi likiwa kazini. | 
| Ni baadhi ya watuhumiwa wakirukishwa kichura kuelekea kituo cha msimabazi. | 


0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home