WEZI HAO...>Majambazi waua, wapora mil. 12/= Muhimbili

Mfanyakazi wa Maabara ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Bi.Sabina Massawe akiwa chumba cha Upasuaji cha Hospitali hiyo baada ya kupigwa risasi na majambazi waliopora fedha kiasi cha Sh.Mil 12.7 Dar es salaam Jana.Katika tukio hilo mlinzi wa Kampuni ya Full Times Security Bw.Juma Magungu aliuawa.

Post a Comment

0 Comments