Habari zenu wadau wa mwangajamii..

Kutokana  na  mwangajamii  kutokuweka  habari  kwa  muda  wa  week mbili..  inawaahidi  kuwaletea  mkusanyiko  wa  habari  za kila  week..  imebadili  mfumo  wa kila  siku    sasa  itakuwa  ikiweka  habari  za  kila  week... unashauriwa  kutembelea   blog  hii  kila  baada  ya  week   ila kwa  maoni  ushauri  usisite  kutuandikia  barua  pepe..E-mail..mwangajamii@yahoo.com   au  simu  no.0655 015461

Post a Comment

0 Comments