HIZI TIMU MBILI HATARI AU KWAJINA MAHARUFU WATANI WA JADI. HAPO JANA WALIPOKUTANA KATIKA UWANJA WA TAIFA NA KUTIMU VUMBI LA KUKATA NA SHOKA. PONGEZI SANA YANGA AFRICAN

HONGERA  SANA  TIMU  YA  YANGA AFRICAN.
Endeleeni  kukaza  buti na  si  mbwembwe  za  midomo  kinachotakiwa  ni  vitendo  ndani  ya  mpira..
pongezi  sana  ziende  wachezaji  pamoja  na  mashabiki  wote  wa  timu  yetu  ya  yanga african


POLENI  SANA  YA  SIMBA

Kumbuka  kushindwa na  kushinda  kote  ni  sawa  na  kumbua  kuna kupata  na  kukosa  katika  soka.  kukosa  leo ndio  kupata  msimu  unaokuja.  Timu  yetu  ya  simba  kumbukukeni  hilo.

Post a Comment

0 Comments