TANZANIA SI MASIKI ILA WATANZANIA NDIO MASIKINI!!!

kundi la nyani
Tanzanite
Almasi/diamond
Dhahabu/gold


mlima kilimanjaro/mount kilimanjaro
Kutokana mwangajamii  kufanya  uchunguzi  imegundua   asilimia  kubwa  ya  watanzania, wanajua nchi  yao ni masikini..  lakini  hapana  ila  watanzania  ndio  masikini. nasema  hivyo  nikiwa  na maana  kuwa  ni  mfumo  2  fulani  ndio  unaosababisha  mtanzania  kuwa  na  umasikini. ikiwemo  uwongozi  uliotawala  sekta  za  uchumi.  kushindwa  kusimamia  utajiri ulipo  ndani ya  tanzania  na  hatimae  wanaofaidi  ni  watu  kutoka  nje.na  ukichunguza  sana  ajira  nyingi  sana  watanzania  wapo kwa 60%peke  yake  ndio  maana  mpaka  leo  ukifanikiwa  kuajiriwa  na  mtanzania  mwenzio  cha  moto  utakipata.  maana  utatumishwa  na  kama  punda  lakini  cha  ajabu  mtu  kutoka  nje..  utaona  atakavyotukuzwa  hata  mungu  siyo  hivyo. mali  ya  sili  ya  tanzania  ingepata  mtu  makini    basi,  tanzania  inuwezo  wa  kulisha  africa  mashariki  nzima..

Post a Comment

0 Comments