KWA MTINDO HUU KUNA HALI YEYOTE YA ELIMU KUWEPO TANZANIA?

"JAMANI  WALIMU WOTE  WENYE  VIJITABIA  VYA  AJABU  KAMA  VIPI  MNATEGEMEA  NINI  KWA  WANAFUNZI  MANAOWAFUNDISHA?"

Post a Comment

7 Comments

Anonymous said…
hahahahahahaha hiyo kali sasa. lakini ni maalumu kwa wale wenye tabia kama hizo.
Anonymous said…
elimu ipo ila ni baadhi tu ya walimu ndio wenye tabia za kishenzi kama hizi.
Anonymous said…
hawa walimu wakifanya kama hivyo huwa wanajifiria nini?
Anonymous said…
ndugu yetu mbona unatukana tena..? punguza jazba. haya ni maoni 2
Anonymous said…
kiukweli tanzania kwa mpango huo hatufiki.elimu bora na c bora elimu.
Anonymous said…
OBAMA maana yake ni MABADILIKO! Kwa lugha ya wenzetu change.ALBERT tulimwita OBAMA tukimaanisha kuja kwa mabadiliko katika jimbo.
OBAMA wetu tunamjua ni mwanaharakati,mzalendo na mchapakazi na ndio maana tukamwita OBAMA jina la kiongozi maarufu duniani aneye ongoza taifa kubwa la WAMAREKANI.
Taifa litajengwa na vijana wenye nguvu sisi wana KIGOMA tunafahamu hivyo na ndio maana tunaye MKOSAMALI,MACHALI,DAVID na mzee wa mageuzi KABWE ZITTO hawa ni vijana nguvu ya TAIFA
ndani ya mjengo.
Anonymous said…
obama kichwa..