TANGAZO KWA GAZETI LETU LA MWANANCHI.
Kulingana na malalamiko yaliyotolewa na wasomaji wa gazeti la mwanachi. napenda kuwataharifu kuwa nafasi za kazi mlizoweka zimepitwa na wakati kwani..wasomaji wengi wamekuwa wakipitia habari hizo za nafasi za kazi na kuzikuta ni hizohizo nikwamba hakuna mabadiliko yeyote yaliyofanywa na wamiliki wa gazeti la mwananchi. mfano: soma lalamiko hili.
shamte says:
TOENI MATANGAZO YALIYOPITWA NA WAKATIMWENYE JUKUMU HILI Naomba afanye kazi yake kama alivyo agizwa ili kutusaidia TUSIO NA AJIRA: hayo ni maoni baadhi tu niliyo yapata ndani ya barua pepe yangu.. ndipo nikaona nibora niwasaidi kutangaza tatizo hilo ndani ya mwangajamii.....
Tangazo hili nimeliweka kwa niaba ya wasomaji woote wa gazeti la mwananchi.

4 Comments:
Inaonekana hawako care na kazi yao..kwani hayo matangazo wamelazimishwa kuyaweka au ndio kusumbua jamii kuwa kuna ajira utapeli acheni bwana mnakuwa kama watu fulani
mfano kuna matangazo mengine yalisha pitwa na wakati wake lakini mpaka leo hakuna wa kuapdate na sijua wanamatatizo gani na kwa kma wameshindw watupatie kazi hiyo ya kuapdate. tunaomba mtoa hayo matangazo yaliyopitwa na wakati.
kiukweli ni kero kwa sisi tunaotafuta ajira.. alafu tukijaribu ajira zenyewe purukusha2
kero tupu!!!!!!!!!!!
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home