Nafasi za kazi

Napenda  kuwatangazia  nafasi  za  kazi  katika blog  hii....

Endapo  kama  kumetokea nafasi  za  kazi  katika  blog  hii.Itakubidi  uwasiliane  nami..kujua  njia   za  kufanya  kazi  pamoja  na  vigezo  na  masharti  kuzingatiwa. kumbuka  kuwa  pindi  utakapopata  kazi  kupitia  blog ni  vizuri  kufuata  vigezo  na  masharti,  Nia  ya  kuweka  vigezo  na  masharti  ni  kukulinda  wewe  na  kupata  haki  yako  yote. na vile vile  ni  kuimarisha  usalama  na  uaminifu  wako  sehemu  ya  ajira  yako...  Nina sisitiza  uaminifu....



NAFASI  YA  KAZI 

ZA NDANI   IMEPATIKANA....  MSHAHARA  30,000. KWA MWEZI  ALIYEKUWA  TAYARI  AWASILIANE  NAMI  KWA  SIMU  NAMBA  ...0713883872........ UAMINIFU  WAKO  NDIO  NGAO  YAKO.

MAENEO  NI  DAR-ES -SALAAM.....  WAHI  SASA..  WOTE    MNAKARIBISHWA..