HONGERA SANA SUDAN Sudan Kusini yasheherekea uhuru Jamhuri ya Su…
mbele zaidi»>>>>>Kitu hicho Kifaa hiki hakikutengenezwa kwa ajili ya kumilikiwa na watu weupe tu. ila mpaka sisi. kwani tunazana kali zaidi ya hao watu weusi licha ya kwamba tunatumia slaa zao. na bora upigwe na risasi ya mguu kulioko mshale.. yaaani unaingia…
mbele zaidi»>>>>>SNAKE AND PEOPLE Kama mnaogopa sisi Tunapenda kuishi nae sehemu moja. na ni bora kuishi na nyoka kama huyu kuliko mgao wa umeme Tanzania.
mbele zaidi»>>>>>Baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Nawenge, Tarafa ya Vigoi, Wilaya ya Ulanga, wakijitolea kufyatua tofali kwa ajili ya shughuli za ujenzi wa vyumba vya madarasa ya shul…
mbele zaidi»>>>>>Geofrey Nyang’oro, Dar na Leo Bahati, Dodoma SIKU moja baada ya Serikali kumkingia kifua Mbunge wa Bariadi Mashariki (CCM), Andrew Chenge ili asishtakiwe kwa rushwa katika mchakato wa ununuzi ya rada, Chadema imeweka hadharani kurasa 11 za ushahidi inaodai kuwa unaweza kumtia hatiani Mwa…
mbele zaidi»>>>>>Vurugu ya kugombea maiti imezuka jioni hii eneo la Manzese Tip Top na kusababisha uharibifu wa mali na majeraha kwa waandishi wa habari waliokuwa wakifutailia sakata hilo. Mwandishi wa mtandao huu anapasha kuwa ugomvi huo umezuka baada ya kijana mmoja kufariki katika mazingira ya kutata…
mbele zaidi»>>>>>machinga Kijana akikimbia na televisheni anayodaiwa kupora katika duka la Zara Solar Limited lililopo Barabara ya Nyerere jijini Mwanza baada kutokea vurugu za wamachinga na polisi jana.(Picha: Cosmas Mlekani) . Wengi wajeruhiwa kwa risasi za moto, wawili wako hoi ICU .…
mbele zaidi»>>>>>kundi la nyani Tanzanite Almasi/diamond Dhahabu/gold mlima kilimanjaro/mount kilimanjaro Kutokana mwangajamii kufanya uchunguzi imegundua asilimia kubwa ya watanzania, wanajua nchi yao ni masikini.. lakini hapana ila watanzania ndio masikini. nasema hivy…
mbele zaidi»>>>>>UKATILI WA MAJUMBANI Utangulizi Ukatili wa majumbani ni aina ya tabia inayotumika kujenga uwezo wa mtu mmoja kummiliki mwingine kwa kutumia vitisho na woga, ukatili wa majumbani aghalabu hutokea kwa watu walio na uhusiano wa kimapenzi na hata wale wanaoishi nyumba moja Magomvi ya nyu…
mbele zaidi»>>>>>