SAUTI YA AFRIKA
TOA MAONI YANAYOJENGA JAMII
October 19, 2012
BREAK NEWSS!!!!! HIZI NI BAADHI YA VURUGU ZILIZOTOKEA LEO MAENEO YA MSIMBAZI KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM
| Gari la jeshi la wananchi likiwa linajiandaa kutuliza ghasia maeneo ya kariakoo jijini Dar es salaam |
| Ni baadhi ya wananchi wakiwa kwenye harakati za kutawanyika baada ya jeshi la polisi kutangaza kuwa watu watawanyike. |
| Polisi wakiimarisha ulizi eneo la kariakoo. |
| Kijana huyu alinaswa na jeshi la polisi wakati akiwa kwenye harakati za kukimbia. |
| Mama huyu alipoteza fahamu baada ya milio ya mabomu kurindima maeneo ya kariakoo. |
| Jeshi la polisi likiwa kazini. |
| Ni baadhi ya watuhumiwa wakirukishwa kichura kuelekea kituo cha msimabazi. |
