April 27, 2012

VIONGOZI WA TANZANIA NI TAMBARA MBOVU.

Msione  nawatukana  nikwasababu  mnawatesa  sana  watanzania. yaani  nimeshangaa  sana  kuhusu  kusherekea  miaka  48 ya  muungano. kwanza  mnaposema muungano  kwa  asilimia  mia moja  hamjui  maana  yake. kwa  mimi  mr.mwangajamii  nafahamu  kuwa  muungano ni kitu  kimoja  hadi  kingine  kuwa  pamoja.  sasa  nyie  kwa  unafiki  wenu  mnatuambia  miaka  48 ya  muungano. ila  mkiniambia  ni  muungano  wa  mafisadi  nitawakubalia.  hivi  leo  hii  mtanzania  kula  yake  mchana  ni  matatizo.  kuishi  kwake  matatizo.  pale  bandarini  mliko  weka  haka  ka  mtando  kenu  ka TRA kakuwachimbia watanzania  kaburi  na kuwafukia. kapo.  sehemu  nyingine  ni  swala  lingine ni   huduma  za  luku  wewe  mtanzania  unanunua  luku.  na  lazima  utakutana  hao  machimba  kaburi.  ikiwemo Vat n.k Halafu  leo  hii    muungano  Muumgano  ni  wenu  mafisadi.  tena  kwa  taarifa  yenu. mwangajamii  itabaki  kuwaambia  ukweli.  ni  bora  mniue  kuliko  mimi  kuona  mtanzania  anakufa  akijiona.    Message  sent  kwa  mafisadi  woote  wanaojifaha.  kama  kimekukera  zaidi  wasiliana  nami.0713 883872

INANIUMA SANA TENA SANA.


Lulu  muombe  mungu  akusaidie  utoke  kwenye  tatizo  hilo  kubwa
 Kwa namna  moja   hadi  nyingine  nikwamba  huyu  msichana  Elizabert.  Analia  kwa  sababu  tu  ya  uonevu. na  ukichunguza  zaidi  anacholilia  si  kingine  ni  vile  anavyofikiria  maisha  yake.  endapo  mahakama  haitamtendea  haki.  kiukweli  mimi  siwezi  kusema  mengi.  ila  naomba  kuuliza  serikali  ya  jamuhuri  ya  muungano  wa  tanzania  swala  la  lulu  wanavyolichukulia  kama   dhabu  yaani  kumkandamiza   kijana  huyu  wa  kike.    je  mbona  hawa  wanaukula  mabilioni  hawafungwi  na  wala  hawafatiliwi ila  wananchi  ndio  wanabebeshwa  mizigo  mikubwa  ikiwemo  kupanda  kwa  maisha? Babo  kule  jela  kunamsanii  wetu babu sea  wamemfungia  kifungo  cha  maisha.  je  hawa mafisadi  na  babu  sea  ninani  mwenye  kuhukumiwa  kifungo  cha  maisha?  mpenzi  msomamaji  jiweke  tayari  kusoma    habari  hii  kwa  umakini  hivi  karibuni.  kiukweli  huyu  sangara  ni  wakumua  tu.  la  sivyo  atatumaliza.  pole  sana  Elizabert Lulu  mungu  atakusimamia  na  utatoka  kwa  nguvu  zake.